Kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la Habari la Kimataifa la Ahl al-Bayt (A.S) - Abna - Ayatollah Reza Ramezani, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahl al-Bayt (A.S) amekutana na Wafanyakazi Kitengo cha Kisayansi na Utamaduni wa Jumuiya hii katika Mji wa Qom kabla ya adhuhuri ya leo, Jumatano, Machi 26, 2025, ikiwa ni mwanzoni mwa Mwaka Mpya wa 1404 Hijria - Shamsia.

26 Machi 2025 - 20:48

Your Comment

You are replying to: .
captcha